Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Baraza la Sanaa na Idara ya Uhamiaji wazungumzia biashara ya ngono inayofanywa na wasanii wanaotoka nje ya nchi

$
0
0
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), limekiri kuwepo kwa baadhi ya wasanii wa nje wanaokuja nchini kufanya kwa madai ya kufanya shughuli za Sanaa lakini hutumia vibali vyao vibaya kwa kujihusisha na biashara ya 'ngono' katika kumbi mbalimbali za starehe zinazojulikana kwa jina la 'Mujra Club'.   Hali hiyo imebainika baada ya Idara ya uhamiaji kubaini kuwa kuna baadhi ya maofisa wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>