Star mkubwa wa filamu nchini Jacqueline Wolper
ameibuka na kudai kuwa, atafanya kila njia ili aolewe na mwanaume wa nje
ya nchi na siyo Wabongo ambao hawathamini mastaa.
Akizungumza
na Uwazi, Wolper alisema, amefikia uamuzi huo kwa sababu ana uchungu
moyoni unaotokana na dhana waliyonayo wanaume wa Kitanzania juu yao,
wakiamini kuwa ni wahuni tu hivyo kuwashusha thamani.
“
↧