Licha
ya serikali kulipiga marufuku dhehebu lililoibuka katika kijiji cha
Rumashi wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma liitwalo Sabato matengenezo,
mwanzilishi wa dhehebu hilo amejitokeza na kusisitiza kuendelea na imani
hiyo.
Baada
ya kupata taarifa za kuwepo kwa dhehebu hili ambalo linakataza watoto
kwenda shule na wagonjwa kutibiwa hospitalini, Serikali ilimkamata
kiongozi wake
↧