Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Taarifa Muhimu kuhusu kuendelea kwa kikao cha bunge maalumu la katiba kesho Jumanne tarehe 18 March 2014 baada ya kusitishwa kutokana na Vurugu za Wajumbe

$
0
0
Baada ya kutokea vurugugu zilizosababishwa na baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalum na  kupelekea Mwenyekiti wa Tume ya Marekebisho ya Katiba Jaji Joseph Warioba kutokuwasilisha rasimu ya pili ya Katiba kwa wajumbe hao, Mwenyekiti wa Bunge Maalum Mhe. Samuel Sitta aliitisha kikao cha maridhiano na baadhi ya wajumbe wanaowakilisha makundi mbalimbali yaliyopo katika Bunge hilo ili kupata

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>