Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Bunge maalumu la katiba lasitishwa kwa muda kutokana na vurugu zilizotokea bungeni....Nini Chanzo cha vurugu hizo??..BOFYA hapa

$
0
0
Jumatatu ya leo, Machi 17, 2014 Mwenyekiti wa Bunge la Katiba Mhe. Sammuel Sitta amelazimika kukiahirisha kikao kilichokuwa kinaendelea jioni baada ya kutokea kutoelewana bainaa ya wajumbe na wabunge wa bunge la katiba. Vurugu zilitokea pale Mhe. Sitta alipomruhusu Jaji Joseph Sinde Warioba (Mwenyekiti wa Tume ya Marekebisho ya Katiba), awasilishe Rasimu ya Katiba hiyo Bungeni.  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>