VIONGOZI wa Chama kipya cha siasa cha Alliance for Change and Transparency (ACT), juzi walijikuta wakizomewa kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Mbugani, Jimbo la Nyamagani, jijini Mwanza.
Mbali ya kujikuta katika wakati mgumu wa kuzomewa, baada ya mkutano huo kumalizika, viongozi hao waliondolewa chini ya ulinzi mkali wa polisi.
Mkutano huo ulilenga
↧