Mbunge wa Viti Maalum wa Chadema, Rose Kamili amedai kupigwa na
kufanyiwa vitendo vya udhalilishaji na wafuasi wa Chama cha Mapinduzi
(CCM) wakati walipomkamata na kumshikilia kwa muda kwa tuhuma za kutoa
rushwa.
Mbunge huyo kwa sasa amelazwa Hospitali ya Rufaa
ya Iringa akitibiwa majeraha yake na mwenyekiti wa Chadema, Freeman
Mbowe amesema kwa sasa wanasubiri taarifa ya
↧