Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mbunge wa CHADEMA amwaga MACHOZI akidai kudhalilishwa na wafuasi wa CCM.....Adai walimpanua Miguu na kumkanyaga sehemu za Siri

$
0
0
Mbunge wa Viti Maalum wa Chadema, Rose Kamili amedai kupigwa na kufanyiwa vitendo vya udhalilishaji na wafuasi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wakati walipomkamata na kumshikilia kwa muda kwa tuhuma za kutoa rushwa.    Mbunge huyo kwa sasa amelazwa Hospitali ya Rufaa ya Iringa akitibiwa majeraha yake na mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema kwa sasa wanasubiri taarifa ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>