Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Sumaye akata rufaa kwa kutoridhishwa na uamuzi wa kumfungia mwaka mmoja CCM

$
0
0
Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye amekata rufaa Kamati Kuu ya CCM kupinga adhabu ya onyo kali aliyopewa na chama kutokana na madai ya kuanza kampeni za urais mapema kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu ujao.    Akizungumza na Mwananchi  mjini Dodoma jana, Sumaye alisema kwa ufupi hakuridhishwa na adhabu hiyo na kuthibitisha hilo, tayari amekata rufaa.   Hata hivyo, alisema hadi jana hakuwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>