Nyumba
za Askari wa jeshi la polisi zilizopo eneo la Chumbageni
nyuma ya kituo cha polisi kikuu cha Chumbageni jijini Tanga zikiungua
moto. Hahdi sasa chanzo cha moto huo pamoja na athari zake
havijajulikana
Askari wa kikosi cha Zimamoto wakiwa kazini
Mkuu wa wilaya ya Tanga Mh.Halima Dendegu akiwasili katika eneo la tukio
Mh.Halima Dendegu akishuhudia ajali ya
↧