Ofisi ya Katibu wa Bunge Maalum inawatangazia Wajumbe wa Bunge
Maalum na umma kwa ujumla kuwa Mkutano wa Bunge Maalum utaendelea mjini Dododma
kesho kwa ratiba ifuatayo:
Tarehe 17/3/201 kuanzia saa 3:00 asubuhi kutakuwa na kiapo kwa Wajumbe wa Bunge Maalum ambao bado
hawajaapishwa. Hivyo Wajumbe wote ambao
hawajaapa kiapo cha ujumbe wa Bunge
Maalum wanatangaziwa kufika Idara ya Shughuli
↧