Ikiwa
imebaki siku moja kabla ya uchaguzi Mdogo wa Ubunge jimbo la Kalenga,
Iringa Vijijini, Mbunge wa viti Maalum Mkoa wa Manyara kupitia Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh.Rose Kamili amekamatwa jioni ya
leo kwenye kijiji cha Kitayawa kata ya Luhota, Iringa Vijijini kwa
tuhuma za kugawa Fedha kwa wanakijiji hao, akijua fika Wananchi hao
wanatarajiwa kupiga kura kwa
↧