Kupitia You heard ya XXL Clouds FM March 14 2014 zilitoka stori
kwamba Wema Sepetu amekwenda na kumfanyia fujo Diamond Platnumz studio.
Hiyo ilitokana na kuona video ya Diamond akiwa na Victoria Kimani studio, msichana ambae amewahi kutajwa kuwa mapenzini nae.
Baada ya Stori hizo, Jana Wema Abraham Sepetu alipost picha ( hiyo hapo juu ) kwenye Instagram ikimuonesha Diamond akiwa
↧