Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Zoezi la kuapishwa wabunge wa bunge maalumu la katiba laendelea vyema mjini Dodoma

$
0
0
Mhe. Mchungaji Christopher Mtikila, akiapa kuwa mbunge wa Bunge Maalum la kuandika katiba mpya mjini Dodoma leo katika zoezi linaloendelea vyema . Mhe. Emmanueli Makaidi akiapa kuwa mbunge wa Bunge Maalum la kuandika katiba mpya  Mhe Tundu Lisu akiapa kuwa mbunge wa Bunge Maalum la kuandika katiba mpya Mhe Mkosamali  akiapa kuwa mbunge wa Bunge Maalum la kuandika katiba mpya. (

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles