Mhe.
Mchungaji Christopher Mtikila, akiapa kuwa mbunge wa Bunge Maalum la
kuandika katiba mpya mjini Dodoma leo katika zoezi linaloendelea vyema .
Mhe. Emmanueli Makaidi akiapa kuwa mbunge wa Bunge Maalum la kuandika katiba mpya
Mhe Tundu Lisu akiapa kuwa mbunge wa Bunge Maalum la kuandika katiba mpya
Mhe Mkosamali akiapa kuwa mbunge wa Bunge Maalum la kuandika katiba mpya.
(
↧