Filamu ya Hollywood iliyochukua bajeti kubwa sana ikiwa na
jina la ‘Noah’ ambayo imeigizwa na Russell Crowe kama Nuhu imepigwa
marufuku kuoneshwa katika nchi wanachama wa Umoja wa nchi/Falme za
Kiarabu (United Arab Emirates).
Filamu hiyo imepigwa marufuku kwa madai kuwa kwanza inazua mtazamo
tofauti kutokana na utofauti uliopo kati ya Biblia na Quran kuhusu
simulizi la Nuhu na gharika
↧