Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Filamu ya maisha ya Nuhu na gharika 'Noah' yapigwa marufuku nchi za kiarabu

$
0
0
Filamu ya Hollywood iliyochukua bajeti kubwa sana ikiwa na jina la ‘Noah’ ambayo imeigizwa na Russell Crowe kama Nuhu imepigwa marufuku kuoneshwa katika nchi wanachama wa Umoja wa nchi/Falme za Kiarabu (United Arab Emirates).   Filamu hiyo imepigwa marufuku kwa madai kuwa kwanza inazua mtazamo tofauti kutokana na utofauti uliopo kati ya Biblia na Quran kuhusu simulizi la Nuhu na gharika

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>