Miss Tanzania 2013, Hapiness Watimanywa, ameibuka na kusema kuwa
kunyakuwa taji la urembo wa Miss Tanzania sio tiketi ya kuwa na skendo
mbalimbali au kufanya mambo ambayo ni kinyume na maadili.
Akizungumza na gazeti la Ijumaa, Happy alisema kuwa anaamini siyo
kwamba mtu anapopata taji la urembo ndiyo linampa kichwa cha kuwa
mcharuko, bali inategemea na uelewa wa mtu na mtu.
“Mimi
↧