Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"Kuwa Miss Tanzania si lazima uwe Mcharuko"...Hapiness

$
0
0
  Miss Tanzania 2013, Hapiness Watimanywa, ameibuka na kusema kuwa kunyakuwa taji la urembo wa Miss Tanzania sio tiketi ya kuwa na skendo mbalimbali au kufanya mambo ambayo ni kinyume na maadili. Akizungumza na  gazeti la Ijumaa, Happy alisema kuwa anaamini siyo kwamba mtu anapopata taji la urembo ndiyo linampa kichwa cha kuwa mcharuko, bali inategemea na uelewa wa mtu na mtu.   “Mimi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>