MAJIBU/MAELEZO YA PINGAMIZI LILILOWEKWA NA BWANA FABIAN L.SKAUKI
DHIDI YANGU MIMI MATAYO M.TORONGEY MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE
KUPITIA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA).
UTANGULIZI
Kwa mujibu wa ibara ya 67 (1) ya Katiba ya Jamhuri Muungano wa Tanzania
(1977) inaeleza wazi kuwa ili mtu ateuliwe kuwa mgombea ubunge ni lazima
awe na sifa zifuatazo;
(i)-Awe raia wa
↧