Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Joshua Nassari, juzi
alijikuta akiumbuka bungeni baada ya kushindwa kutaja kanuni
aliyoitumia, kuomba mwongozo.
Hali hiyo ilitokea muda mfupi kabla ya wajumbe kupiga kura za kumchagua Mwenyekiti wa Bunge hilo.
Kuumbuka kwa mjumbe huyo ambaye pia ni Mbunge wa
Arumeru Mshariki, kulitokana na Mwenyekiti wa Muda wa Bunge hilo, Pandu
Ameir Kificho,
↧