Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Helikopta ya CHADEMA yapigwa marufuku siku ya uchaguzi mdogo wa Kalenga mkoani Iringa.....

$
0
0
Polisi katika Mkoa wa Iringa, imepiga marufuku matumizi ya helkopta siku ya uchaguzi mdogo wa Kalenga, kwa madai kuwa kufanya hivyo ni sawa na kupiga kampeni.    Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Ramadhani Mungi alitoa kauli hiyo jana wakati akitoa taarifa ya hali ya usalama tangu kampeni zilipoanza hadi sasa kwa vyombo vya habari.   Mungi alisema

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>