Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkurugenzi wa zamani wa Manispaa ya Ilala na wenzake 11 wanaohusika na jengo...

MKURUGENZI wa Mashitaka Nchini (DPP), amemfutia mashitaka aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime (61) na kisha kumuunganisha na wenzake 11 na kuwasomea upya mashtaka 27 ya mauji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Atakaye Nioa Atafaidi MAPISHI yangu"...Maya

Msanii  mkongwe Bongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amesema licha ya kuwa bado hajaolewa lakini atakayemuoa atafaidi mapishi yake kwani ni fundi wa kupika. Maya alifunguka hayo juzikati wakati mwandishi wetu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM yahoji uwepo wa Helikopta ya CHADEMA siku ya kupiga kura katika uchaguzi...

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimehoji matumizi ya helikopta ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), siku ya kupiga kura katika uchaguzi mdogo wa Kalenga, Jumapili ijayo.   Mratibu wa Kampeni za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha KALI za muonekano wa msanii Rose Ndauka miezi kadhaa baada ya Kujifungua

Huu  ni  Muonekano  mpya  wa  Msanii  Rose  Ndauka  ikiwa  ni  miezi  kadhaa  tu  tangu  ajifungue...Bado  ni  mrembo  na  yuko  HOT  kama  zamani... Hili  ni  somo  tosha  kwa  wasanii  wa  kike...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mh. Samia Suluhu arudisha fomu ya kuwania nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa...

  Kina Mama wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakimsindikiza Mjumbe wa Bunge Hilo na Mgombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Bi. Samia Suluhu Hassan(Aliyenyanyua fomu)kurudisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

IKULU Yamtaka Askofu Kakobe aache Porojo.....Yadai kuwa ofisi ya Kurugenzi ya...

Kurugenzi  ya  mawasiliano  Ikulu  imesema  haina  muda  wa  kujibu  porojo  zilizotolewa  na  Askofu  wa  kanisa  la  Full  Gospel  Fellowship, Zachary  Kakobe  kwani  ina  kazi  kubwa  ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wema Sepetu akesha ukiomba na yeye apate mtoto....

Kilio kikubwa cha Wema Isaac Sepetu ni kupata mtoto, Habari zilieleza kuwa Wema amekuwa na kiu ya mtoto kwa muda mrefu na kwamba alishakuwa na wanaume tofauti lakini hawakumpatia mtoto.   Ilisemekana...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa ya PINGAMIZI dhidi ya mgombea wa CHADEMA kwenye uchaguzi mdogo jimbo...

Mimi FABIAN L. SKAUKI, mgombea ubunge wa uchaguzi mdogo jimbo la CHALINZE kwa Ticket ya THE CIVIC UNITED FRONT (CUF) ninamwekea Pingamizi mgombea wa chama cha demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwamba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa za Mtumbwi uliozama Mtwara leo na kuua akina mama watatu.....

Taarifa kutoka Mtwara ambazo zimethibitishwa na jeshi la Polisi zinaarifu  kuhusu  Mtumbwi ambao umezama wakati ukivuka kutoka kitongoji cha Ng’wale kwenda ng’ambo ya pili ambapo ndiyo sehemu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha: Juhudi zinazofanywa ili kumaliza tatizo la maji jijini Dar

Mafundi wakiendelea kulaza mabomba yatakayotumika kusafirishia maji kutoka Mitambo ya Maji ya Ruvu Chini mpaka kwenye Tanki la kuhifadhia maji lililopo Chuo Kikuu cha Ardhi jijini Dar es Salaam. Mpaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete apokea ripoti ya mgawanyiko wa watu kwa Umri na Jinsi leo Ikulu...

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea toka kwa   Kamishna wa Sensa Hajjat Amina Mrisho Ripoti ya Mgawanyo wa Watu kwa Umri na Jinsia kwa data za sensa ya watu na makazi mwaka 2012 leo Machi 13, 2014...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ridhiwani Kikwete arudisha fomu za Ubunge Chalinze.

MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, Ridhiwani Kikwete leo amerudisha fomu ya kugombea ubunge wa jimbo la Chalinze kupitia tiketi ya chama cha Mapinduzi, akisindikizwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mhe.Samia Suluhu Hassan achaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa bunge maalumu la...

Hatimaye leo Bunge maalum la Katiba limemchagua Mhe.Samia Suluhu Hassan kuwa Makamu Mwenyekiti wake mjini Dodoma.     Hii inakuja baada ya jana kumchagua Mhe.Samweli Sitta kuwa Mwenyekiti. Mhe Hassan...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mh.Yahya Khamis Hamad ateuliwa kuwa katibu wa Bunge maalumu la Katiba....Dkt....

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete asubuhi ya kesho, Ijumaa, Machi 14, atamwapisha Katibu wa Baraza la Wawakilishi Bwana Yahya Khamis Hamad kuwa Katibu wa Bunge...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jeshi la Polisi labuni mkakati mpya utakao komesha AJALI nchini

  Na Mohammed Mhina, wa Jeshi la Polisi-Dodoma Jeshi la Polisi nchini limebuni mikakati itakayosaidia kukomesha ajali za barabarani kwa kuvishirikisha vikosikazi vya Polisi Jamii vilivyotawanywa katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Helikopta ya CHADEMA yapigwa marufuku siku ya uchaguzi mdogo wa Kalenga...

Polisi katika Mkoa wa Iringa, imepiga marufuku matumizi ya helkopta siku ya uchaguzi mdogo wa Kalenga, kwa madai kuwa kufanya hivyo ni sawa na kupiga kampeni.    Kamanda wa Polisi mkoani hapa,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha ya Rais Kikwete na viongozi wa bunge la katiba baada ya kuwaapisha

  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea kwa furaha na Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi pamoja na Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mhe John...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Sichagui dini wala Kabila, Ninachoangalia ni Penzi la dhati la huyo mwanaume...

   Msanii  maarufu  Bongo Movies, Irene Paul amefunguka kuwa kwenye suala la uhusiano, hana kipingamizi sana kwani anachoangalia ni mtu anayempenda haijalishi dini wala kabila.   Akizungumza na Gpl...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

"Nikipigwa MIMBA sitaitoa tena, Lazima nizae tu"...Lulu Michael

STAA wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa kama siku yoyote atapata ujauzito kwa bahati mbaya, hatafanya kosa tena, atazaa tu. Katika mahojiano maalum na gazeti la Ijumaa, Lulu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sakata la Wema Sepetu kufanya fujo studio baada ya kuwakuta Diamond na...

   U heard ya XXL Clouds FM alizipata stori kutoka kwa shuhuda kwamba juzi  March 13 2014 kulitokea ugomvi studio baada ya Ommy Dimpoz kupost picha akiwa studio na Diamond na mwimbaji Mkenya Victoria...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>