Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akipokea toka kwa Kamishna wa Sensa Hajjat
Amina Mrisho Ripoti ya Mgawanyo wa Watu kwa Umri na Jinsia kwa data za
sensa ya watu na makazi mwaka 2012 leo Machi 13, 2014 Ikulu jijini Dar
es Salaam.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Kamishna wa Sensa Hajjat Amina Mrisho
(kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina
Chuwa baada
↧