Mafundi
wakiendelea kulaza mabomba yatakayotumika kusafirishia maji kutoka
Mitambo ya Maji ya Ruvu Chini mpaka kwenye Tanki la kuhifadhia maji
lililopo Chuo Kikuu cha Ardhi jijini Dar es Salaam. Mpaka sasa mafundi
hao wameshasambaza mabomba kwa umbali wa kilomita takribani 29 kati ya
kilomita 55. Kazi hii inatarajiwa kukamilika mwezi Juni, mwaka huu.
Timu ya mafundi ya ukarabati
↧