MKURUGENZI
wa Mashitaka Nchini (DPP), amemfutia mashitaka aliyekuwa Mkurugenzi wa
Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime (61) na kisha kumuunganisha na wenzake
11 na kuwasomea upya mashtaka 27 ya mauji katika mtaa wa Indira Gandh,
yaliyotokana na kuporomoka jengo la ghorofa 16.
Mbali
na Fuime washtakiwa wengine ni, Diwani wa Kata ya Goba, Ibrahim Mohamed
maarufu kama Kisoki, Raza Ladha,
↧