Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mkurugenzi wa zamani wa Manispaa ya Ilala na wenzake 11 wanaohusika na jengo la ghorofa 16 lililoanguka na kuua watu jijini Dar wafutiwa mashitaka ya kuua kwa bahati mbaya na kushitakiwa kwa kuua kwa makusudi

$
0
0
MKURUGENZI wa Mashitaka Nchini (DPP), amemfutia mashitaka aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime (61) na kisha kumuunganisha na wenzake 11 na kuwasomea upya mashtaka 27 ya mauji katika mtaa wa Indira Gandh, yaliyotokana na kuporomoka jengo la ghorofa 16.   Mbali na Fuime washtakiwa wengine ni, Diwani wa Kata ya Goba, Ibrahim Mohamed maarufu kama Kisoki, Raza Ladha,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>