Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Bodaboda, Bajaji na biashara holela zapigwa marufuku katikati ya jiji la Dar

$
0
0
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Saidi Mecki Sadiki akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kutoa agizo kwa viongozi na watendaji wa jiji la Dar es salaam kuhakikisha kuwa wanawaondoa na kuwachukulia hatua za kisheria wanaovunja sheria za jiji kwa kuendesha shughuli mbalimbali katika maeneo yasiyoruhusiwa. Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es salaam Kamishna (CP)

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>