Mwanamuziki wa kike ambaye ‘hips’ zake hazidanganyi anapocheza,
Shakira ameeleza kuwa chanzo cha kufanya video na Rihanna aliyemshika
kama mwanaume ‘Can’t Remember to Forget You’, ni wivu alionao boyfriend
wake Gerard Pique.
Katika mahojiano aliyofanya na jarida la Billboard, Shakira ameeleza
kuwa mchezaji huyo wa Barcelona hataki kabisa ashikwe na mwanaume kwenye
video na kwamba ni
↧