Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mkazi wa Tabora asimulia jinsi Metakelfin ilivyomgeuza kuwa Albino, Msikilize hapa akieleza ilivyokuwa

$
0
0
Hafidh Masokola mwenye umri wa miaka 47,  mkaazi wa Tabora amedai kuwa alitumia dawa aina ya Metakelfin miaka minne iliyopita kwa lengo la kutibu ugonjwa wa malaria, lakini dawa hizo zilimsababishia madhara makubwa katika ngozi yake na kumpelekea kuwa albino.   Akiongea na Sun Rise ya 100.5 Times Fm, Hafidh ambaye ni mjasiriamali ameeleza kuwa alinunua dawa hizo ‘Pharmacy’ na kwamba

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>