Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Hii ndo SIRI ya anguko la ELIMU katika shule zilizofanya vibaya kwenye Matokeo ya mwaka jana

$
0
0
WANAFUNZI wanaosoma darasa la saba katika shule za msingi zilizofanya vibaya kwenye matokeo ya mwaka jana na kushika nafasi za mwisho wilayani Tunduru, wamesema hali hiyo inachangiwa na wazazi kuwashinikiza wajaze majibu ya uongo kwenye mitihani yao ya mwisho, ili wafeli kwa lengo la kuwanusuru na mkono wa sheria iwapo watafaulu na kushindwa kuwapeleka sekondari...Gazeti  la  Majira 

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>