Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"Sipendi kutumia kinga ( Kondom ) ninapokuwa faragha"...Linah

$
0
0
MSANII wa kike anayetesa kwenye Bongo Fleva, Esterlina Sanga ‘Linah’ ametoa mpya baada ya kuibuka na kueleza wazi kuwa, awapo faragha hapendi kutumia kinga. Linah alisema hayo wakati akizungumza na mwakilishi wa  gazeti  la  Risasi  jijini Dar es Salaam wikiendi iliyopita, ambapo alisisitiza kuwa anachukia sana mipira ya kike na kiume wakati wa tendo kwa vile zinamkata stimu.  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>