Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mtoto wa miaka 13 anusurika kuchinjwa na baba yake mzazi

$
0
0
Mwanafunzi wa darasa la tatu Shule ya Msingi Majengo, wilayani Kahama, mkoani Shinyanga amelazwa katika Hospitali ya wilaya baada ya kunusurika kifo kutokana na jaribio la kuchinjwa na baba yake mzazi.    Tukio hilo limekuja siku 10 baada ya mtu mmoja, Ustadh Mohamed Kurangwa (36), kumuua mwanafunzi wa Shule ya Msingi Nzasa, Jamal Salum (12) kisha naye kuuawa, Mbagala, Dar es Salaam.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles