Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ridhiwani Kikwete ashinda katika Kura za maoni CCM kuwania kiti cha Ubunge jimbo la Chalinze

$
0
0
   Wanachama  wamemaliza  kupiga  kura  za  maoni  katika  jimbo  la  Chalinze  kumchagua  mgombea  wa  CCM... Matokeo  ni  kama  ifuatavyo: Ridhiwani Kikwete ameshinda kwa kupata kura 758 kati ya kura 1321, Ilikuwa hivi: 1.Ridhiwani Kikwete kura 758 2.Shaban Iman Madega kura 335 3.Athuman Ramadhan Maneno kura 206 4.Changwa Mohamed mkwazu kura 12 Kura zilikuwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>