Msemaji kampuni ya Weusi, Nick wa Pili amesema kuwa rapper Lord Eyez amesimamishwa na kampuni hiyo kutokana na kuvunja maadili.
Nick wa Pili amesema baada ya kupokea taarifa za Lord Eyez
kushikiliwa na polisi huko Arusha kwa wizi wa Laptop walikaa kikao na
kuamua kumsimamisha.
“Kitu ambacho naweza kusema kutoka Weusi ni kwamba Lord Eyez
tumemsimamisha kazi kikampuni,”
“Uamuzi wa
↧