Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ridhiwani Kikwete achukua fomu ya kugombea ubunge Chalinze ambapo anatarajiwa kuchuana na Iman Madega na Ramadhan Maneno

$
0
0
  NA Mwamvua Mwinyi, Gazeti la UHURU, Bagamoyo  —HARAKATI za kuwania ubunge katika Jimbo la Chalinze, mkoani Pwani,  zimezidi kushika kasi ambapo makada maarufu wa CCM, wamechukua fomu kuwania kuteuliwa.   Uchaguzi huo unafanyika kutokana na kifo cha aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Saidi Bwanamdogo, aliyewatumikia wananchi kwa kipindi cha miaka mitatu. Mnyukano wa kuwania kuteuliwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles