Vipindi vya televisheni vya shindano la Maisha Plus kuanza kuonyeshwa leo usiku katika kituo cha televisheni, TBC1.
Akizungumza na wanahabari jijini Dar, Mratibu wa Mashindano hayo, Masoud Ali ‘Kipanya’ alisema vipindi hivyo vitaonyesha hatua za awali ambazo ni usaili na mpaka kupatikana kwa washiriki 30 waliobahatika kuingia kijijini.
“Tutaanza kuwaonyesha kipindi chetu kuanzia leo
↧