Chama kipya cha siasa cha Alliance for Change and Transparency
(ACT-Tanzania) kimeanzishwa na kupewa usajili wa muda huku kikitamba
kuwa mbadala wa vyama vyote vilivyopo sasa kwa maelezo kuwa vimekosa
demokrasia ya kweli.
Miongoni mwa viongozi wa muda wa chama hicho ni
Samson Mwigamba aliyetimuliwa uanachama wa Chadema kutokana na
kuhusishwa na waraka uliotaka kumwandaa Zitto KabweImage may be NSFW.
Clik here to view.
Clik here to view.
