Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

CCM yasitisha kampeni na kuhudhuria maziko....Yatoa Rambirambi ya sh. MILIONI MOJA ( 1,000,000) , CHADEMA nayo yajikongoja na kutoa sh. Elfu Hamsini ( 50, 000)

$
0
0
Chama  Cha Mapinduzi (CCM) kilichokuwa kikifanya kampeni katika kijiji cha Kidamale Jimbo la Kalenga, kimelazimika kusitisha kampeni zake kwa muda ili kushiriki maziko ya watu watatu waliofariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea katika jimbo hilo. Ajali hiyo ilitokea juzi kwa kuhusisha gari la kiwanda cha kusambaza maji ya Afrika cha mkoani humu aina ya Isuzu Foward lenye namba za

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles