Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Serikali yatangaza kuajiri walimu 36,000 mwezi huu....Walimu hao watatakiwa kuripoti katika vituo vyao vya kazi Aprili mosi mwaka huu

$
0
0
Serikali  imetangaza kuwajiri walimu wapya 36,071 mwaka huu ambao majina yao yanatarajia kutangazwa katikati ya mwezi huu (Machi) na watatakiwa kwenda kuripoti katika vituo vyao vya kazi Aprili mosi mwaka huu. Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Elimu), Kassim Majaliwa, aliyasema hayo wakati akizungumza katika kipindi cha Kumepambazuka jana kinachorushwa na Radio One

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles