Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwigulu Nchemba ataka Dr. Slaa na Freeman Mbowe washitakiwe kwa matukio ya umwagaji damu nchini....Awashangaa polisi kuwaacha wakitanua

$
0
0
MWENYEKITI wa CHADEMA, Freeman Mbowe na Katibu Mkuu wake Dk. Willibrod Slaa, wanatakiwa kushitakiwa kwa matukio ya umwagaji damu nchini, linachapisha hivyo gazeti la Uhuru  katika  taarifa ya Suleiman Jongo akiripoti kutoka Iringa. Pia, vyombo vya dola vimelaumiwa kwa kukaa kimya bila kuwachukulia hatua zakisheria licha ya kushiriki katika matukio yaliyopoteza maisha ya Watanzania.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles