Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wananchi Wafunga barabara kupinga mwekezaji kupewa mlima wa dhahabu wilayani Chunya, Mbeya

$
0
0
Wananchi  wa kijiji cha Charangwa Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya, wamefunga barabara kuu ya kutokea Mbeya kuelekea mikoa ya kaskazini kama vile Mwanza, Tabora, Singida na Manyara kwa zaidi ya saa tano, wakipinga kitendo cha Serikali kumuuzia mwekezaji mlima wao ambao wamekuwa wakichimba dhahabu kwa miaka mingi bila ya kuwashirikisha. Barabara hiyo ilifungwa jana kuanzia saa 11:00

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles