MGOGORO wa uongozi ndani ya Chadema, umeingia katika hatua nyingine baada ya makada wa chama hicho wanaopingana kimisimamo, kufunga ofisi za chama hicho mjini Mpanda kwa zaidi ya wiki sasa.
Makada hao wamegawanyika na kuwa na kambi mbili tofauti, ambapo kila upande umeweka kufuli lake na walinzi wake, kuhakikisha hakuna atakayevunja na kuingia ofisini humo.
Ofisi za chama hicho
↧