Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Waziri wa Elimu akerwa daraja la TANO kuitwa SIFURI....Asema Unakuaje na daraja la kwanza, la pili, la tatu, la nne lakini unapofika la tano unaita sifuri ????

$
0
0
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa ameelezea kukerwa na daraja la tano katika muundo mpya wa kupanga matokeo, kuitwa sifuri.   Dk. Shukuru Kawambwa, aliyasema hayo jana mjini Dodoma alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari.   Alivishutumu vyombo vya habari kwa kuchanganya alama na madaraja yaliyopo katika muundo mpya wa kupanga matokeo ya mitihani nchini.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles