WAJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba wameshauriwa kutokuwa watumwa wa kupokea maagizo ya vyama vyao vya siasa kwa hofu ya kupoteza madaraka, kwani wakifanya hivyo watakuwa hawatendei haki wananchi.
Kauli hiyo ilitolewa jana na mfanyabiashara wa mjini Dodoma, Augustino Ndejembi alipokuwa akielezea jinsi mchakato mzima wa Bunge la Katiba unavyoendelea.
Alisema ikiwa wajumbe wa Bunge hilo
↧