Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mtoto wa Sheikh aliyemwagiwa tindikali aanza kuona

$
0
0
Sheikh  wa Msikiti MKuu wa Bondeni, Mustapha Mohamed Kiago (49) na mwanaye Khalid Mustapha (10) wanasadikiwa kumwagiwa tindikali, wanaendele vema.   Wawili hao, wamelazwa kwenye hospitali ya mkoa ya Mount Meru kwa matibabu, baada ya kumwagiwa kimiminika hicho, hivyo kujeruhiwa shingoni na usoni.   Akizungumza  nasi  kwa njia ya simu ya kiganjani Jumamosi jana, Sheikh Kiago

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>