Sheikh wa Msikiti MKuu wa Bondeni, Mustapha Mohamed Kiago (49) na
mwanaye Khalid Mustapha (10) wanasadikiwa kumwagiwa tindikali,
wanaendele vema.
Wawili hao, wamelazwa kwenye hospitali ya mkoa ya Mount Meru kwa
matibabu, baada ya kumwagiwa kimiminika hicho, hivyo kujeruhiwa shingoni
na usoni.
Akizungumza nasi kwa njia ya simu ya kiganjani Jumamosi jana,
Sheikh Kiago
↧