Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ikulu yakanusha nyongeza ya posho kwa wabunge....Yasema Rais hajapelekewa maombi, Kilichopitishwa ni marekebisho ya mgawanyo

$
0
0
RAIS Jakaya Kikwete hajaongeza posho kwa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kutoka Sh 300,000 za sasa na kueleza kuwa hajawahi kupokea maombi ya nyongeza ya posho hiyo.   Badala yake amefanya marekebisho ya mpangilio wa posho hizo ambapo itabaki Sh 300,000 hiyo hiyo ya awali.   Maelezo hayo ya Rais Kikwete yaliyotolewa kupitia kwa Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Ikulu, Salva Rweyemamu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>