Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Madereva wa malori zaidi ya 300 wagoma kuendelea na safari katika barabara kuu itokayo Dodoma hadi Mwanza baada ya mwenzao kuvamiwa

$
0
0
Madereva wa malori zaidi ya mia tatu wamegoma kuendelea na safari katika barabara kuu itokayo Dodoma hadi Mwanza baada ya dereva mwezao aliyekuwa akiendesha lori kuvamiwa na majambazi katika eneo la kisaki manispaa ya Singida.    Wakiongea na ITV /Radio one madereva ambao wamekutwa katika eneo hilo wameomba  jeshi la polisi kufanya doria mara kwa mara eneo hilo kwani kumekuwa na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>