Msanii wa filamu za Kiswahili, Aunt Ezekiel ambaye
anatarajia kuachia wimbo wake mpya wa Bongo Flava alioupa jina la ‘Mguu
kwa Mguu’ aliomshirikisha Linex Mjeda, ameeleza sababu kubwa iliyomfanya
aingie kwenye game la Bongo Flava.
“Unajua game la Tanzania linabadilika badilika kwa hiyo nimeona ngoja
pia nijihusishe katika uimbaji ili niendelee kuteka mashabiki, mimi
zamani nilikuwa
↧