Mgombea ubunge Jimbo la Kalenga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),
Godfrey Mgimwa (32), akilakiwa kwa shangwe na vigeregere alipowasili
katika Kijiji cha Magubike, Kata ya Nzihi, Iringa Vijijini, kufanya
mkutano wa kampeni leo mchana
Wafuasi
wa CCM wakishangilia kwa nguvu wakati Mgimwa akihutubia kuwaomba
kura.Uchaguzi wa Jimbo hilo la Kalenga utakuwa Machi 16, mwaka huu.
Mfuasi
↧