Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Vyeti vya kuzaliwa sasa kutolewa mashuleni.....

$
0
0
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Mfaranyaki, Ruvuma wakifurahia jambo. ************* Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini Tanzania (RITA) ameanzisha mpango wa uandikishaji na utoaji vyeti vya kuzaliwa kwa watoto wanaoanzia umri wa miaka sita hadi 18 katika shule zote za msingi na sekondari nchini. Hatua hiyo inatokana na kubaini kuwa ni asilimia 23 tu ya Watanzania nchini ndio

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>