Wanafunzi wa Shule ya Msingi Mfaranyaki, Ruvuma wakifurahia jambo.
*************
Wakala
wa Usajili, Ufilisi na Udhamini Tanzania (RITA) ameanzisha mpango wa
uandikishaji na utoaji vyeti vya kuzaliwa kwa watoto wanaoanzia umri wa
miaka sita hadi 18 katika shule zote za msingi na sekondari nchini.
Hatua hiyo inatokana na kubaini kuwa ni asilimia 23 tu ya Watanzania nchini ndio
↧