Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chadema taifa, John Heche,
akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Lumuli, wakati wa kampeni za kumnadi
mgombea wa ubunge katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Kalenga kupitia
chama hicho, Grace Tendega uliofanyika kijijini hapo jana.
Meneja
wa Kampeni za mgombea ubunge kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(Chadema), Alphonce Mawazo, akimwelezea mtoto
↧