Sheikh
wa Msikiti Mkuu wa Bondeni mkoani Arusha, Mustaph Kiago (49) na mwanaye
Khalid Mustapha (10), wamemwagiwa kimiminika kinachodhaniwa kuwa ni
tindikali wakati wakiingia msikitini.
Sheikh Kiago amejeruhiwa shingoni na mtoto wake ameumizwa machoni na wote wanatibiwa hospitali ya mkoa ya ya Mount Meru .
Akizungumza nasi nje ya wodi ya watoto kwenye hospitali hiyo jana,
Kiago
↧