Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Sheikh wa Msikiti Mkuu wa Bondeni mkoani Arusha amwagiwa Tindikali....Kosa lake ni kukataa kutangaza JIHAD ambayo ni vita ya silaha dhidi ya Waislamu na wasio Waislamu

$
0
0
Sheikh wa Msikiti Mkuu wa Bondeni mkoani Arusha, Mustaph Kiago (49) na mwanaye Khalid Mustapha (10), wamemwagiwa kimiminika kinachodhaniwa kuwa ni tindikali wakati wakiingia msikitini. Sheikh  Kiago amejeruhiwa shingoni na mtoto wake ameumizwa machoni na wote wanatibiwa hospitali ya mkoa ya ya Mount Meru . Akizungumza nasi nje ya wodi ya watoto kwenye hospitali hiyo jana, Kiago

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>