Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ostaz Juma awatandika tusi wasanii na watangazaji...."Wasanii na Watangazaji wa redio njaa sana, mtakufa, pesa zangu zinawafanya MNISUJUDIE"

$
0
0
  Ostaz Juma ameendelea kuongezea petroli kwenye moto aliouwasha juzi  na sasa amewaamkia wasanii na watangazaji wote wa redio nchini akisema njaa inawasumbua na ndio maana wamekuwa wakimsujudia.. Hiki ndicho alichokiandika kwenye Facebook: Naona watu mmeguswa sana mimi kuanika Picha za PNC katika mitandao et, tatizo wasanii wa tanzania mnanjaa sana kuanzia watangazaji Radio na wasanii

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>