Mtandao wa Times Fm umefanya mahojiano ‘exclusively’ na Robina
Nicholaus, msichana aliyeshika nafasi ya kwanza/ aliyeongoza kitaifa
(Tanzania One) kwenye matokeo ya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2013.
Robina, mwenyeji wa wilaya ya Bunda mkoa wa Mara ambaye alikuwa
anasoma katika shule ya wasichana ya Marian, akiwa na ndoto ya kuwa
daktari wa watoto amejibu maswali kumi muhimu na
↧